Maarifa
ya Asili ni muhimu kwa nini?
- MA yanaauni mikakati ya kutatanua mashida kwa
jumuiya za wenyeji, hasa watu maskini.
- MA yanachangia michango muhimu kwa maarifa ya
maendeleo duniani.
- Mifumo ya MA yamehatarishwa kuhiliki.
- MA yanahusika mfumo wa maendeleo.
- MA hayatumiwa ya kutosha kwenye mfumo wa maendeleo.
Kujifunza
kutoka kwa MA, kwa njia ya kuchunguza kwanza ujuzi na uwezo wa jumuiya
za wenyeji, inaweza kuzidi ufahamu wa hali za kimwetu, na mahala pa
kusukumiza utenzi unaopangwa kuzisaidia jumuiya za wenyeji.
Muhimu
juu ya kila kitu ni kwamba Benki ya Dunia na washiriki wake wa maendeleo
wanaweza kupunguza umaskini wakifaidia kutoka nafasi ya kugeuza mawazo
ya MA na kuyashirikisha kwenye miradi yao ya kutoa msaada.
Kwa
mfano...
- Upungufu wa kifo cha akina mama nchini Uganda
- Ugawanyaji wa msaada wa chakula nchini Nepal
- Ukomeshaji wa kijadi cha tohara ya wanawake wa
kijiji cha Malicounda nchini Senegal
- Mifumo ya afya ya akina mama na watoto baada
ya uzalishaji kati ya Waibo nchini Nigeria.
Kwa
maelezo mengine kuhusu MA, tazama MA Kiunzi cha Utendaji na Rasilimali
za MA